• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mifugo na Uvuvi

Majukumu ya Idara ya Mifugo na Uvuvi

  • Kubuni mipango ya uzalishaji mifugo.
  • Kuratibu mipango ya ugani kuhusiana na mifugo.
  • Kuratibu na kuendesha mafunzo ya ufugaji bora, usindikaji wa mazao ya mifugo kwa wataalu wa mifugo na wafugaji.
  • Kubuni, kuanzisha na kutekeleza miradi ya maendeleo ya mifugo.
  • Kutafiti maeneo mapya yanayofaa kwa ufugaji wa mifugo mbalimbali.
  • Kufanya utafiti juu ya uihalibifu wa mazingira.
  • Kushiriki katika shughuli za kudhibiti milipuko ya wanyama na viumbe waharibifu wa malisho.
  • Kuandaa taarifa ya robo, nusu na mwaka  juu ya maendeleo ya mifugo.
  • Kufuatilia, kuweka, kuchambua na kutafsiri takwimu za uzalishaji wa mifugo.
  • Kusimamia huduma zote za afya ya mifugo afya ya umma na wanyama.
  • Kuandaa mipango ya muda mfupi na mrefu ya kudhibiti na kutokomeza magonjwa ya wanyama.
  • Kukusanya, kuchambua, kuhifadhi, kusambaza na kutumia data za magonjwa ya mifugona taarifa nyingine.
  • Kuratibu matumizi ya maji ya mifugo na uhifadhi wa maeneo ya malisho na vyanzo vya maji.
  • Kuelimisha wafugaji juu ya matumizi bora ya nyanda za malisho.
  • Kusimamia utekelezaji wa sheria za nyanda za malisho na vyanzo uzalishaji wa vyakula vya mifugo.
  • Kuhamasisha utunzaji na uhifadhi wa nyanda za malisho kwa mbinu za asili.
  • Kuelimisha na kuhamasisha matumizi ya mabaki ya mazao na masalia ya mazao.
  • Kupunguza migogoro kati wafanya biashara wakubwa wa binadamu na wazalishaji wa vyakula vya mifugo.
  • Kusajili na kusimia sekta binafsi za mifugo.
  • Kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katika uzalishaji wa nyama na ngozi.
  • Kusimamia utekelezaji wa sheria ya mifugo na sheria ya ngozi.
  • Kuhamasisha uzalishaji, ukusanyaji na utunzaji na uuzaji wa ngozi bora.
  • Kuongeza thamani ya ngozi.
  • Kutoa mafunzo kwa wadau mbalimbali wa ngozi.
  • Kuhamasisha matumizi ya masoko bora ya mifugo.

Kutekeleza sera ya uvuvi.

Uhifadhi wa samaki na viumbe wengine wa majini na mazingira yao.

Kuratibu na kusimamia uhifadhi wa mazingira.

Kuendeleza uvunaji endelevu wa samaki na viumbe wengine wa baharini, maziwa, mito, mabwawa na malambo.

Kutoa ushauri wa kitaalam kuhusu uvuvi bora, utengenezaji na uhifadhi bora wa samakina mazao ya uvuvi, biashara na masoko ya samaki pamoja ufugaji wa samaki na viumbe wengine wa majini.

Kutoa leseni za uvuvi.

Kuendesha mafunzo ya taaluma ya uvuvi.

Kusimamia na kutekeleza sharia za uvuvi (k.m kuzuia uvuvi haramu).

Kusimamia ukusanyaji wa takwimu za uvuvi pamoja na maduhuli.

Kuratibu shughuli za utafiti wa uvuvi.

Kutoa ushauri na mafunzo kwa wananchi juu ta uendelezaji na matumizi enelevu ya rasilimali za uvuvi.

Kukagua ubora wa samaki na mazao ya uvuvi na kuweka viwango vya kitaifa.


Kutembelea Tovuti ya wizara ya Mifugo na Uvuvi, bonyeza http://www.mifugouvuvi.go.tz/

Uvuvi unaokubalika na Usiokubalika , bonyeza http://www.mifugouvuvi.go.tz/faqs

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 Halmashauri ya Wilaya ya Busega December 15, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Pili Mwaka 2022_Wilaya ya Busega January 04, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne Mwaka 2022_Wilaya ya Busega January 29, 2023
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI BUSEGA LAITAKA RUWASA KUJIRIDHISHA NA TAKWIMU ZA UPATIKANAJI WA HUDUMA YA MAJI

    November 18, 2022
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa