• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mipango, Takwimu na Ushirika

Utekelezaji Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji;

Idara ya mipango na takwimu inajumuisha wataalamu wa mipango na takwimu ambao kwa ujumla wanasimamiwa na Afisa mipango wa wilaya. Idara ya mipango ndiyo inayoratibu shughuli zote za miradi ya maendeleo pamoja na kuandaa taarifa mbalimbali za utekelezaji wa miradi hiyo mfano taarifa za robo mwaka, taarifa za utekelezaji wa ilani ya uchaguzi, uratibu wa uandaaji wa bajeti na utekelezaji wake,  n.k. Taarifa hizi hupelekwa ngazi za juu kwa ajili ya ufuatiliaji zaidi.

Majukumu ya idara hii kiutawala yameainishwa kuonesha majukumu ya mtakwimu na majukumu ya wachumi/mipango ila katika utekelezaji majukumu haya hutekelezwa kwa pamoja. Pamoja na kuahinishwa kwa majukumu hayo, pia Idara kwa mujibu wa waraka mpya wa muundo wa Idara za Halmashauri, Idara ina sehemu kuu tatu;

  • Sera na Mipango (Policy and Planning),
  • Tathamini na Ukaguzi wa Miradi (Monitoring and Evaluation),
  • Takwimu (Statistics)

Majukumu ya Mipango (Sera na Mipango & Tathmini na Ukaguzi wa Miradi)

Kuratibu masuala yote ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

Kuandaa mpango na taarifa za utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama cha tawala kwa kipindi cha miaka mitano,mwaka mmoja na nusu mwaka.

      Kufanya tathmini na ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo ili kubaini ubora wa mradi na thamani ya fedha iliyotolewa (value for money)

      Kuratibu miradi iliyofadhiliwa na Wahisani wilayani.

      Kuratibu Mipango na Bajeti ikiwemo Mpango Mkakati na Mipango kazi ya wilaya.

      Kuunganisha, kuratibu na kufuatilia Mipango na Bajeti za Serikali za mitaa.

     Kushiriki katika kufuatilia, kukagua na kutoa tathmini kwenye miradi ya maendeleo wilayani ili kupata takwimu sahihi za utekelezaji wa kazi za serikali.

     Kushiriki katika kuandaa taarifa za utekelezaji miradi mbalimbali ya maendeleo.

     Kuratibu shughuli za tafiti zote wilayani, ikiwa ni pamoja na kufanya tafiti za kina kuhusu vyanzo vya mapato vya Halmashauri.

Kuchapisha machapisho mbalimbali ya kiucumi na kijamii wilayani.

Kuratibu maandalizi na utekelezaji wa mkataba wa huduma kwa wateja.

Idara ya Mipango ndiyo Sekretarieti katika vikao vya Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC).

Kuratibu masuala ya Maafa katika wilaya.

Kazi Za Mtakwimu Wa Halmashauri

Mtakwimu wa Halmashauri anashiriki katika kazi zote za kitakwimu zinazofanyika katika halmashauri. Mtakwimu anafanya kazi chini ya usimamizi wa Afisa Mipango Wilaya. Kazi za mtakwimu wa wilaya ni kama ifuatavyo;

  1. Kusimamia kitengo vya Takwimu katika Halmashauri Kukusanya, kuchambua, kutafsiri na kuwasilisha takwimu ili ziweze kutumika katika mipango ya Halmashauri.

Kushirikiana na idara zote za kisekta (kwa mafano Afya, Elimu, Kilimo, n.k) ndani ya Halmashauri ili kuwa na mfumo mzuri wa kitakwimu.

Kuandaa mkusanyiko wa takwimu za kiuchumi na kijamiiā€œ(Socio economic profile),

Kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Takwimu wakati wa zoezi la Sensa ya idadi ya watu na Makazi.

Mtakwimu pia ni mwenyekiti wa kikundi kazi cha ukusanyaji wa takwimu ndani ya Halmashauri (District Statistics Working Group).

Kufuatilia mwenendo wa mfumo wa utunzaji wa takwimu katika ngazi ya serikali za mitaa(LGMD) na kushirikiana na idara nyingine zenye mifumo mingine ya utunzajia wa takwimu za kisekta kwa mfano;

Maliasili - NAFOBEDA, Afya - MTUHA na Elimu - BEST.

LGMD - Local Government Monitoring database, BEST-Basic Education Statistics na NAFOBEDA - National Forestry and Beekeeping Database

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 Halmashauri ya Wilaya ya Busega December 15, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Pili Mwaka 2022_Wilaya ya Busega January 04, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne Mwaka 2022_Wilaya ya Busega January 29, 2023
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI BUSEGA LAITAKA RUWASA KUJIRIDHISHA NA TAKWIMU ZA UPATIKANAJI WA HUDUMA YA MAJI

    November 18, 2022
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa