• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WILAYA YA BUSEGA YANG'ARA ELIMU MSINGI

Posted on: December 4th, 2019

Katika matokeo ya Mitihani ya Elimu ya Msingi, Wilaya ya Busega imeng’ara kwa ufaulu wa wanafunzi wanaotarajia kujiunga kidato cha kwanza katika Shule mbalimbali za serikali kwa ngazi ya elimu ya sekondari nchini. Mitihani ya kuhitimu Elimu ya Msingi iliyofanyika tarehe 11 na 12 mwezi septemba 2019, takwimu zinaonesha ufaulu katika Wilaya ya Busega umeweza kuongezeka kwa 8.28% ukilinganisha na mwaka jana; ambapo ufaulu mwaka huu 2019 ni 90.2% ikilinganishwa na mwaka jana 2018 ambapo ufaulu ulikuwa ni 81.99%.

Jumla ya wanafunzi wapatao 5513 walifanya mitihani ya kuhitimu elimu ya Msingi, kati yao wasichana walikuwa 2806 na idadi ya wavulana ilikuwa 2707, waliofaulu ni 4973 ambapo wasichana jumla yao ni 2470 na wavulana ni 2503. Kati ya waliofaulu jumla ya wanafunzi 3220 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kwenye Shule mbalimbali za Sekondari. Kwenye idadi hiyo ya waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kati yao wasichana ni 1614 na wavulana ni1606. Kwa upande mwingine jumla ya wanafunzi 1754 ikiwa wasichana ni 855 na wavulana ni 899 hawakuchaguliwa kujiunga licha ya kufaulu mitihani yao kutokana na changamoto ya kuwa na idadi kubwa ya wanafunzi ukilinganisha na idadi ya Shule zilizopo.

Kwa upande wa ufaulu ngazi ya mkoa, Wilaya ya Busega imeweza kushika nafasi ya pili ikiwa na kiwango cha ufaulu wa 90.27% ikitanguliwa na Wilaya ya Bariadi iliyoshika nafasi ya kwanza, Mkoa wa Simiyu. Licha ya kushika nafasi ya pili kwa ngazi ya Mkoa, Wilaya ya Busega imeweza kutoa wanafunzi bora kimkoa katika nafasi ya kwanza mpaka ya nne.

Wanafunzi waliofanya vizuri kwa ngazi ya Wilaya ni Busumba Peter Charles, kutoka Shule ya Msingi Nyashimo, aliyeshika nafasi ya kwanza na kuchaguliwa kujiunga na Shule ya Sekondari ya Wavulana Mzumbe, nafasi ya pili ikishikwa na Ngulung’wa Selemani Zacharia kutoka Shule ya Msingi Mwamagulu na amechaguliwa kujiunga Shule ya Sekondari ya Wavulana Iliboru, huku nafasi ya tatu ikishikwa na Johnson Goodluck John kutoka Shule ya Msingi Nasa, pia amechaguliwa kujiunga na Shule ya Sekondari Mzumbe. Kwa nafasi ya tano imeshikwa na Maria Paul Balekele kutoka Shule ya Msingi Nyaluhande na amechaguliwa kuijunga na Shule wasichana Msalato.

Pamoja na kushika nafasi za juu kwenye ngazi ya Wilaya, pia wanafunzi hao wnne (4) wameweza kuingia kwenye kumi (10) bora Kitaifa, na kuipeperusha vyema Wilaya ya Busega kitaaluma. Kwa upande mwingine wastani wa kwa ngazi ya mkoa ni sawa na 126.36% ikiwa na kiwango cha ufaulu 86.46% na kushika nafasi ya nane (8) Kitaifa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 12, 2025
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba Wilaya ya Busega_2020 November 23, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili December 01, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • TIJA YA KUONGEZA MAPATO; BUSEGA YATEMBELEA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA KUJIFUNZA MBINU

    April 18, 2024
  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa