• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wanaoozesha Marudio ya Mchanga wa Dhahabu Watakiwa Kulipa Ushuru wa Halmashauri

Posted on: November 19th, 2021

Ziara ya siku moja ya Mkuu wa Wilaya ya Busega Mhe. Gabriel Zakaria ya kutembelea kampuni zinazohusika na uozeshaji wa marudio ya mchanga wa dhahabu (Plant) iliyofanyika tarehe 19 Novemba 2021, imelenga kupata picha ya hali halisis ya ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri. Katika ziara hiyo Mhe. Zakaria ameweza kuambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Busega, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega na baadhi ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega imeweza kubaini upotevu wa mapato ambayo yanatokana na vifusi vya mchanga maarufu kama makinikia.

Mhe. Zakaria amesema kwamba mchanga wote unaoletwa maeneo ambayo yanatumika kuozesha marudio ya mchanga wa dhahabu ni lazima ulipiwe ushuru wa Halmashauri kwani ndio utaratibu. Pamoja na hayo Mhe. Zakaria amesema kwamba kuna umuhimu kukutana na wamiliki wa kampuni hizo ili kuongea lugha moja kabla ya utekelezaji wake kuanza, huku akimuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega kuhakikisha anapeleka wataalam kwenye kampuni zote zinazofanya shughuli hiyo ili kutathmini thamani ya vifusi vilivyopo kwaajili ya kulipiwa ushuru.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega Bi. Veronica Sayore amesema kuna umuhimu kwa wamiliki wa kampuni hizo kushirikiana kwa ukaribu na Ofisi ya Halmashauri ili kuhakikisha makampuni hayo yanaendesha shughuli zao bila vikwazo. “Shughuli hizo mnazozifanya ni halali lakini uhalali wake unathibitisha na kufauata vigezo na taratibu za Serikali ikiwemo kulipa ushuru”, aliongeza Sayore.

Kwa upande mwingine Mhe. Zakaria ameweza kutembelea mgodi wa dhahabu wa Imalalamate na kujionea shughuli mbalimbali zikiendelea huku akisisitiza udhibiti wa mifuko ya mchanga siku za minada. Zakaria amesema kwamba ni vyema viroba vya mchanga vikawekwa sehemu moja siku ya mnada ili kudhibiti utoroshwaji wa viroba hivyo kwa lengo la kudhibiti upotevu wa mapato ya Halmashauri. Halmashauri ya Wilaya ya Busega kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Busega inaendelea kushirikiana kwa pamoja kuhakikisha makusanyo ya mapato ya ndani yanaendelea kupanda ili kufikia malengo ya bajeti ya Halmashauri.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III ULIOFANYIKA TAREHE 05.10.2024 October 05, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba Wilaya ya Busega_2020 November 23, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili December 01, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • TIJA YA KUONGEZA MAPATO; BUSEGA YATEMBELEA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA KUJIFUNZA MBINU

    April 18, 2024
  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa