• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wakulima wa zao la Pamba Busega wapata mafunzo ya upuliziaji Viuatilifu

Posted on: March 8th, 2022

Wakulima wa zao la Pamba Wilayani Busega wameanza kupatiwa elimu ya upuliziaji dawa katika mashamba yao ili kuondoa wadudu waharibifu wa zao hilo. Katika mafunzo hayo ya siku tatu kuanzia tarehe 07-09 Machi, 2022 yanajumuisha wakulima wa zao hilo katika Kata zote 15 zilizopo Wilayani Busega.

Balozi wa zao la Pamba nchini Bw. Aggrey Mwanri akiambata na mwenyeji wake Mkuu wa Wilaya ya Busega Mhe. Gabriel Zakaria wameweza kukutana na wakulima katika maeneo yao ili kutoa elimu ya moja kwa moja kwa vitendo. Katika Mafunzo hayo wakulima wanaelimishwa namna bora ya uchanganyaji wa dawa na upuliziaji unaostahili ili kudhibiti wadudu waharibifu.

 “Lengo la kuja kukutana na wakulima katika mashamba yao ni kuonesha namna ya uchanganyaji na upuliziaji wa dawa katika shamba ili kudhibiti wadudu waharibifu wakiwemo funza na chawa jani”, alisema Mwanri. Aidha, Mwanri amesema ili kuwa na tija ya zao la Pamba ni vyema wakulima kupatiwa elimu ya mara kwa mara ya jinsi ya uchanganyaji wa dawa na upuliziaji kwani juhudi za wakulima zitarudishwa nyuma pale tu udhibiti wa wadudu utapuuziwa.

Mkuu wa Wilaya ya Busega Mhe. Gabriel Zakaria amewataka wakulima kufuata maelekezo ya wataalam ili kuwa na uzalishaji wenye tija wa zao hilo kuliko kulima kwa mazoea kama ilivyo hapo awali. “Tujiatahidi kufuata maelekezo ya wataam ili kuongeza uzalishaji wa Pamba na kufikia lengo la Wilaya la kuzaliza tani 50,000 kwa msimu wa mwaka huu, tulime kwa kufuata vipimo vya wataalam kama ilivyoelekezwa kwamba ni umbali wa sentimeta 60-30 kutoka shina moja hadi lingine, alisema Zakaria.

Pamoja na hayo, Zakaria ameweza kuwapatia mabomba ya kupulizia dawa wakulima ambao wamefanya vizuri zaidi kwa lengo la kuwaongezea motisha zaidi, huku akitoa tahadhari kwa wote ambao watagawa dawa hizo bila kuzangatia miongozo na taratibu. Nao wakulima wa Pamba wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita na kumshukuru Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mhe. Samia suluhu Hassan kwa hatua anazoendelea kuzifanya ikiwemo utoaji wa mkopo wa viuatilifu kwa wakulima kwa lengo la kuhakikisha wakulima wanapata uzalishaji wenye tija kubwa.

Mwisho

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III ULIOFANYIKA TAREHE 05.10.2024 October 05, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba Wilaya ya Busega_2020 November 23, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili December 01, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • TIJA YA KUONGEZA MAPATO; BUSEGA YATEMBELEA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA KUJIFUNZA MBINU

    April 18, 2024
  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa