• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAKULIMA 10,000 BUSEGA KUNUFAIKA NA MRADI WA KILIMO CHA KISASA CHA MPUNGA

Posted on: September 11th, 2020

Mradi wa kilimo cha kisasa cha mpunga Wilayani Busega una lengo la kuwawezesha wakulima waweze kuingia kwenye kilimo cha biashara. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Busega Mazao Limited, Bw. Deogratius Kumalija wakati wa kikao kilichofanyika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega tarehe 11 Septemba, 2020.

Kampuni ya Busega Mazao inatarajia kutekeleza mradi wa Kilimo cha Kisasa cha Mpunga unaojulikana kama Competitive African Rice Initiative-East Africa (CARI-EA) Wilayani Busega. Bw. Kumalija amesema kwamba mradi huo utaanza kutekelezwa katika vijiji zaidi ya tisa ikiwemo Mwanangi, Busami, Sanga, Mwamgoba, Nyangoko, Jisesa na Shigala, kwa wakulima kuwezeshwa mbegu za kisasa, utumiaji wa teknolojia bora ya upandaji, upaliliaji wa kisasa na upatikanaji wa soko la uhakika, huku amesisitiza kwamba wameanza na vijiji vichache lakini kwa hapo baadae vijiji vingine zaidi vitaingizwa kwenye mradi huo.

Kampuni ya Busega Mazao Limited kwa kushikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Busega itafanya kazi na wakulima wapatao 10,000 wa kilimo cha mpunga, kwa kuwapa mbinu bora na za kisasa za kilimo ili kuweza kufikia malengo ya wakulima wa Mpunga Wilayani Busega, aliongeza Bw. Kumalija.

Awali Mratibu wa Mradi Bw. Innocent Mafuru ameeleza kwamba kabla ya kutekelezwa kwa mradi huo wakulima wote watakaoingia kwenye mradi huo watapatiwa mafunzo ili kuwawezesha kuwa na uelewa wa mradi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega, Anderson Njiginya Kabuko ameipongeza kampuni ya Busega Mazao kwa mradi huo na kukiri kwamba ni heshima kubwa kwa Wilaya ya Busega hivyo ni wajibu wa Ofisi ya Mkurugenzi kushiriki kikamilifu katika mradi huo. Tunashukuru kwa kutushirikisha na kiukweli mmetupa heshima kubwa hivyo tunatoa pongezi nyingi kwa uongozi wa kampuni ya Busega Mazao na naahidi tutashirikiana nanyi vyema ili kufikia lengo la mradi, aliongeza Kabuko. 

Aidha, Kabuko ameiomba kampuni hiyo kutenga eneo maalumu litakalotumika kwa kilimo ili kuwezesha utekelezaji wa mradi huo kuwa na ufanisi mkubwa. Kikao hicho kikihudhuriwa pia na Afisa Kilimo na Ushirika, Bw. Juma Chacha na baadhi ya wataalamu wengine kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega.  

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III ULIOFANYIKA TAREHE 05.10.2024 October 05, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba Wilaya ya Busega_2020 November 23, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili December 01, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • TIJA YA KUONGEZA MAPATO; BUSEGA YATEMBELEA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA KUJIFUNZA MBINU

    April 18, 2024
  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa