• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC Kafulila Aipongeza Busega kwa Kukamilisha Ujenzi wa Vyumba 95 vya Madarasa

Posted on: December 30th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. David Kafulila ameipongeza Wilaya ya Busega kwa kukamilisha ujenzi wa vyumba 95 vya madarasa ambayo vimejengwa chini ya Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano Dhidi ya UVIKO 19. Kafulila amesema hayo wakati alipofanya ziara Wilayani Busega siku ya leo tarehe 30 Disemba 2021 kwaajili ya kukabidhiwa madarasa hayo.

Kafulila amesema kuwa ujenzi wa madarasa hayo yote umekamilika na mkoa uko tayari kwa ajili ya kupokea wanafunzi wote ambao watatakiwa kuanza shule huku akizipongeza kamati zote zilizozohusika kusimamia ujenzi huo.

“Nizipongeze kamati zote ambazo zimehusika katika ujenzi wa madarasa haya, mmefanya kazi kubwa sana, tunamshukuru Mheshimiwa Rais kwa fedha hizi ambazo zimewezesha ujenzi wa madarasa yote haya,” amesema Kafulila.

Aidha, Kafulila amewataka wananchi kwenye maeneo ambako madarasa hayo yamejengwa kuhakikisha wanayatunza na kuyatumia kwa kazi iliyokusudiwa huku amewataka wananchi kuthamini jitihada kubwa zilizofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kufanikisha ujenzi wa madarasa hayo.

“Kimsingi kama Rais asingelifanya hivi, wananchi sasa hivi mgelikuwa mnahangaika kujenga madarasa lakini kwa fedha hizi hamjatoa mchango wowote, na muda huu mnautumia kwa ajili ya maendeleo yenu, lazima tumpongeze Rias wetu na kumshukuru,” aliongeza Kafulila.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Busega Mhe. Gabriel Zakaria amesema Wilaya ya Busega ilipokea kiasi cha TZS Bilioni 1.9 kutoka Serikali kuu kwaajili ya ujenzi wa vyumba 95 vya madarasa katika shule za Sekondari na shule Shikizi. Ujenzi wa madarasa hayo utasaidia idadi ya wanafunzi 6,297 kujiunga kidato cha kwanza na wanafunzi wapatao 220 kunufaika na madarasa 5 yanayojengwa katika shule moja shikizi ifikapo Januari 2022.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili wa Zoezi la Ukusanyaji Taarifa za Anuani za Makazi March 22, 2022
  • Majina ya waliofaulu na kupangiwa vituo vya kazi kwa zoezi la ukusanyaji wa taarifa za Anuani za Makazi na Postikodi March 30, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi kwa Kada ya Elimu na Afya-TAMISEMI April 20, 2022
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • WATUMISHI WA UMMA BUSEGA WAASWA KUSHIRIKI MICHEZO ILI KUIMARISHA AFYA ZAO

    March 20, 2022
  • Wakulima wa zao la Pamba Busega wapata mafunzo ya upuliziaji Viuatilifu

    March 08, 2022
  • NINAWAPONGEZA MADIWANI KWA UFUATILIAJI WA SHUGHULI MBALIMBALI ZA MIRADI YA MAENDELEO-GABRIEL ZAKARIA

    March 04, 2022
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI WENYE ZAIDI YA TSH BILIONI 32.397 KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

    February 23, 2022
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa