• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC DKT. NAWANDA AMEZITAKA TAASISI ZA UMMA MKOANI SIMIYU KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO

Posted on: November 10th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Dkt. Yahaya Nawanda amezitaka taasisi za Umma zilizopo mkoani Simiyu kushirikiana kwani zote zinafanya kazi chini ya Serikali moja. Dkt. Nawanda ameyasema hayo alipofanya ziara ya siku moja kutembelea pori la akiba Kijeleshi lililopo wilayani Busega.

Dkt. Nawanda amesema, lengo la Serikali ni kuona huduma zinatolewa kwa wananchi, hivyo taasisi za Umma hazina sababu ya kutoshirikiana katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma zinazostahili. “Tukiwa kama taasisi za Umma ni lazima tuhakikishe tunashirikiana kutatua chnagamoto mbalimbali, tukifanya hivyo tunasaidia wananchi”, aliongeza Dkt. Nawanda.

Awali, Kamishna wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) Kanda ya Ziwa, SACC. Gisela Kimario amesema kwamba pori la akiba Kijeleshi ni pori ambalo linasaidia sana mzunguko wa wanyama mbalimbali ambao wengi wao wanatoka katika hifadhi ya Serengeti. Kimario anasema uwepo wa pori hilo ni chachu ya utalii kwa wazawa na wageni kwani ni pori lenye wanayama pendwa zaidi na watalii wakiemo Tembo, Simba na Mbuni.

Aidha, Dkt. Nawanda hakusita kuzungumzia suala la wanyama wakali ambao wamekuwa kero kwa wananchi wengi wanaoishi pembezoni mwa pori hilo. Kwa upande wake Kamanda wa pori la akiba Kijeleshi, Lusato Masinde anasema kwasasa wanaendelea na udhibiti wa wanyama hao, wakiwemo Tembo ambao wamekuwa kero katika baadhi ya maeneo.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Busega Mhe. Gabriel Zakaria amesema kupitia utalii Wilaya ya Busega itakua kiuchumi, na kueleza kwamba milango ipo wazi kwa wawekezaji kuja kuwekeza wilayani Busega kwani licha ya pori la akiba Kijeleshi kuwepo Busega lakini Wilaya ipo karibu na lango la Ndabaka, ambalo ndilo langu kuu la kuingia hifadhi ya wanyama Serengeti.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega, Veronica Sayore amesema Ofisi yake ipo tayari kushirikiana na taasisi zote za Umma ikiwemo TAWA. Sayore amesema atashirikiana na TAWA kuhakikisha changamoto ya wanyama wanaoingia katika makazi ya watu nakuharibu miundombinu wanadhibitiwa.

Katika ziara hiyo Dkt. Nawanda alitembelea ujenzi wa lango la kuingia hifadhi ya Kijeleshi, kituo cha Askari wa kudhibiti wanyamapori wakali, Mwabayanda, na kambi ya Ngulyati. Pori la akiba Kijeleshi lina ukubwa wa kilometa za Mraba 65.7 ambapo lilianzishwa mwaka 1992 huku asilimia 80 ya pori hilo likiwa katika Wilaya ya Busega.

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 Halmashauri ya Wilaya ya Busega December 15, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Pili Mwaka 2022_Wilaya ya Busega January 04, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne Mwaka 2022_Wilaya ya Busega January 29, 2023
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI BUSEGA LAITAKA RUWASA KUJIRIDHISHA NA TAKWIMU ZA UPATIKANAJI WA HUDUMA YA MAJI

    November 18, 2022
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa