• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Naibu Waziri TAMISEMI, Mhe. David Silinde Aridhishwa na Utekelezaji wa Ujenzi wa Miradi ya Elimu Busega

Posted on: March 7th, 2021

Naibu Waziri TAMISEMI Mhe. David Silinde amefanya ziara ya siku moja wilayani Busega. Katika ziara hiyo ameweza kukagua na kuridhishwa na ujenzi wa miradi ya elimu inayotekelezwa. Ameyasema hayo alipotembelea Shule ya Sekondari Antony Mtaka kukagua miradi ya ujenzi wa miundombinu katika shule hiyo.

Akiwa katika Shule hiyo, Silinde amekagua mradi wa ujenzi wa bwalo, maabara, vyumba viwili vya madarasa na ujenzi wa vyoo, ambapo Serikali imetoa jumla ya TZS Milioni 196.6 kwaajili ya ujenzi wa miradi katika Shule hiyo.

Mhe. Silinde ametaka kuwepo kwa usimamizi bora wa fedha zinazotolewa na Serikali ili kukamilisha miradi kama azma ya kufanikisha lengo la Serikali. “Nimeridhishwa na hali ya ujenzi wa miundombinu iliyofanyika katika Shule hii, sababu nimeona thamani ya fedha, nimeona matumizi bora ya fedha za serikali na pia nimeona ubora wa majengo, hii ni kwasababu ya usimamizi bora uliopo hapa” aliongeza Silinde.

Awali, akisoma taarifa fupi ya Shule hiyo, Mkuu wa Shule ya Sekondari Antony Mtaka Bw. Joseph Kazimoto amesema ukamilikaji wa ujenzi wa miradi hiyo kutasaidia kuongeza ufanisi katika ufundishaji, kupunguza uhaba wa vyumba vya madarasa na kupunguza utoro kwa wanafunzi. Hata hivyo Bw. Kazimoto ametaja changamoto za miundombinu muhimu zinazoikabili Shule hiyo ikiwemo upungufu wa madarasa, jengo la utawala na maktaba.

Kwa upande mwingine, Mhe. Silinde ameongea na Wanafunzi wa Shule hiyo na kuwataka kuweka bidii katika masomo, kwani Taifa linawategemea pia amewaeleza kwamba Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli inaendelea kutatua changamoto zote zinazoikabili sekta ya elimu nchini, ili kuweka mazingira bora kwenye Shule na Taasisi za elimu nchini.

Ziara ya Mhe. Silinde wilayani Busega ilihitimishwa katika Shule mpya ya Venance Mabeyo, inayojengwa kijiji cha Nyamikoma, kata ya Kabita. Akiwa katika Shule hiyo, amekagua na kuridhishwa na ujenzi unaoendelea na kutoa maagizo ya taratibu za awali kufanyika kwa haraka ikiwemo kuisajili Shule hiyo ili ianze rasmi kutumika.

MWISHO. 

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III ULIOFANYIKA TAREHE 05.10.2024 October 05, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba Wilaya ya Busega_2020 November 23, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili December 01, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • TIJA YA KUONGEZA MAPATO; BUSEGA YATEMBELEA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA KUJIFUNZA MBINU

    April 18, 2024
  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa