• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MAONESHO YA 28 YA NANENANE KITAIFA, AZITAKA TAASISI ZA KIBENKI KUTOA MIKOPO ZAIDI KWA WAKULIMA HUKU WATAFITI WA KILIMO WATAKIWA KUTOA TAARIFA SAHIHI KWA MAAFISA UGANI

Posted on: August 1st, 2020

Taasisi za kibenki zatakiwa kutoa mikopo Zaidi kwa wakulima ili kuongeza tija na ufanisi katika sekta ya kilimo. Hayo yamesemwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati wa ufunguzi wa maonesho ya Nanenane kitaifa tarehe 01/08/2020, yanayofanyika viwanja vya Nyakabindi wilayani Bariadi Mkoa wa Simiyu.

Maonesho ya Nanenane ya 28 Kitaifa kufanyika yameweza kufunguliwa huku taasisi za kifedha za Benki za CRDB, NMB na NBC zikiwa ni wadhamini wakuu wa maonesho. Katika hotuba yake Mhe. Makamu wa Rais Mhe. Samia amezitaka taasisi hizo za kifedha kuwekeza Zaidi kwenye sekta ya kilimo ili kuleta ubora wa wakulima kwa kutumia teknolojia ya kisasa Zaidi katika kilimo, uvuvi na ufugaji nchini, kutoka asilimia 9% tu ya mikopo inayotolewa hivi sasa kwenye sekta ya kilimo.

Uwekezaji wa mikopo kwenye sekta hii utasaidia kuboresha kilimo cha umwagiliaji hivyo kuwa na akiba kubwa ya chakula nchini. Kuwezehswa kwa wakulima kuna manufaa makubwa kwa nchi na uchumi wa wakulima wetu nchini aliongeza Mhe. Samia.

Aidaha Mhe. Samia amewataka wataalam wa tafiti za kilimo kutoa taarifa sahihi kwa maafisa Ugani ili kuwezesha kusambaza taarifa kwa wakulima katika maeneo yao. Ameongeza kwamba tafiti nyingi zinafanyika lakini haziwafikii walengwa hivyo kukosa taarifa sahihi jinsi ya kuboresha kilimo, uvuvi na ufugaji nchini.

Kwa upande mwingine Mhe. Samia suluhu amezindua jengo la Wizara ya Kilimo mkoa wa Simiyu ambapo linatarajiwa kutoa huduma za elimu na ushauri katika sekta ya kilimo kwa ujumla, na kutaka uwepo wa jengo hilo kuwa na malengo yaliyokusudiwa na sio vingenevyo. Kuwepo kwa jengo hili ni fursa kubwa ya kutoa dira kwenye sekta hii hasa kudhibiti uvuvi haram ambao miaka ya karibu umekuwa changamoto na kusababisha upotevu mkubwa wa samaki katika ziwa Viktoria, kuboresha ufugaji wa kisasa na kufanikisha kilimo cha umwagiliaji.

Maonesho ya Nanenane yanafanyika mara tatu mfululizo mkoani Simiyu yenye kauli mbiu isemayo Kwa Maendeleo ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Chagua Viongozi Bora 2020, yameacha alama kubwa kwa wakulima, wafugaji, na wavuvi. Kilimo, ufugaji na uvuvi ni moja ya shughuli kubwa zinazifanywa nchini Tanzania, huku mkoa wa Simiyu ukiwa miongoni mwa mikoa inayolima mazao ya biashara huku zao la pamba likiwa linazalishwa kwa wingi. Shughuli za uvuvi kupitia ziwa Viktoria na ufugaji wa mifugo mbambali ikiwemo Ng’ombe, Kondoo na Mbuzi.

Mhe. Samia amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kutembelea viwanja vya maonesho hayo ili kujifunza shughuli mbalimbali za kilimo, ufugaji na uvuvi kwa ajili ya kupata elimu Zaidi ili kuboresha shughuli zao hivyo kuifanya sekta hii kuwa na matokea chanya katika maendeleo ya uchumi wa nchi.

 Awali Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga ameeleza mikakati ya Wizara ikiwemo usajili wa wakulima ili kupata takwimu sahihi ya wakulima nchini, kufanikisha huduma ya bima ya mazao na utafiti wa kilimo hasa kwenye mbegu bora na teknolojia katika sekta ya kilimo. Huku akihamasisha ushiriki wa wananchi kushiriki ipasavyo maonesho ya Nanenane kwani mchango mkubwa kwa wakulima, wana ushirika na wadau wengine kujifunza mbinu mbalimbali ambazo zitaboresha

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III ULIOFANYIKA TAREHE 05.10.2024 October 05, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba Wilaya ya Busega_2020 November 23, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili December 01, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • TIJA YA KUONGEZA MAPATO; BUSEGA YATEMBELEA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA KUJIFUNZA MBINU

    April 18, 2024
  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa