• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

LAMADI UTALII FESTIVAL DIRA YA UWEKEZAJI WILAYANI BUSEGA

Posted on: December 30th, 2019

Tamasha la Utalii maarufu kama Lamadi Utalii Festival, limefanyika Wilayani Busega na kufunguliwa na Mh. Naibu Waziri wa Utalii Ndg. Costantine Kanyasu tarehe 29/12/2019. Tukio hilo lilizinduliwa mapema tarehe 23/10/2019 na Mh. Waziri wa Utalii Dr. Hamis Kigwangwala katika Baraza la Biashara na Uchumi lililofanyika Wilayani Busega, ambapo alituma mwakilishi wake Bi. Gloria Mhambo. Tamasha hilo linatarajia kufanyika kwa siku nne (4) kuanzia tarehe 29/12/2019 mpaka 1/1/2019 na baadae litakuwa endelevu kwa kufanyika kila Jumapili ya mwisho ya Mwezi.

Akiongea wakati wa uzinduzi huo Mh. Naibu Waziri amesisitiza lengo la tamasha hilo ni kutangaza vivutio vya utalii ambavyo vinapatikana Wilaya ya Busega. Pamoja na hilo pia Lamadi Utalii Festival inalenga kutoa elimu juu ya masuala ya Utalii wa Kiutamaduni, kutoa fursa na ajira kwa wajasiliamali wadogo kupata nafasi ya kuuzia bidhaa zao na pia kupata sehemu ya kujifunza zaidi juu ya masuala mbalimbali ya Utalii.

Kwa upande mwingine Lamadi Utalii Festival inatarajia kutoa fursa kwa wawekezaji kutoka mashirika na taasisi mbalimbali zinazofanya shughuli za Kitalii na Uhifadhi kuja kutoa elimu na kutangaza kazi zao kwa washiriki mbalimbali wanaoshiriki tamasha hilo.

Shughuli ambazo zinabeba dhima nzima ya Tamasha hilo ni pamoja na Ngoma za Utamaduni, Vyakula vya Asili, Uchoraji wa aina ya Tinga Tinga, Uchongaji Vinyago na Bidhaa za Kiutamaduni. “Tamasha hili ni chachu ya kutoa fursa kwa wananchi waweze kujiari kwa kujali elimu ya utunzaji wa mbuga zetu” Alisema Mh. Mkuu wa Wilaya, Tano Mwera.

Lamadi ni moja ya Miji midogo inayopatikana Wilayani Busega, Simiyu, amabapo upo karibu na geti la kuingilia Mbuga ya Wanyama Serengeti na Pori la Akiba Kijereshi. Hivyo ni sababu mojawapo inayopelekea tamasha hilo kupewa jina la Lamadi Utalii Festival. Wilaya ya Busega ni miongoni mwa wilaya zinazopatikana kandokando ya fukwe za Ziwa Viktoria, kwa maana nyingine sehemu hiyo ya fukwe ni moja ya maeneo ya Utalii.

“Tunaamini Lamadi Utalii Festival itaongeza idadi ya watalii wa ndani, uzalishaji wa bidhaa na huduma za kitalii utaongezeka, uboreshaji wa kiuchumi kwa wananchi, kuongezeka kwa wawekezaji na elimu zaidi kuhusu Utalii” alisema Mh. Mkuu wa Wilaya Tano Mwera. Pia ili kufanikisha lengo kuu la tamasha hilo ni muhimu na kuhakikisha idadi ya ualikaji wa wadau wa utalii unaongezeka na pia kushirikiana kwa karibu na Bodi ya Utalii ili kutangaza vivutio vya Kitalii vinavyopatikana Wilayani Busega. Aliongeza Mh. Mkuu wa Wilaya.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III ULIOFANYIKA TAREHE 05.10.2024 October 05, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba Wilaya ya Busega_2020 November 23, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili December 01, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • TIJA YA KUONGEZA MAPATO; BUSEGA YATEMBELEA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA KUJIFUNZA MBINU

    April 18, 2024
  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa