• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Busega yaiagiza TARURA Kuwasimamia vyema Wakandarasi wa Barabara

Posted on: July 30th, 2021

Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Busega ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Busega Mhe. Gabriel Zakaria imeitaka Ofisi ya Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) Wilaya ya Busega kuwasimamia vyema Wakandarasi wanaojenga barabara Wilayani Busega ili kuharakisha ukamilikaji wa barabara kwa wakati. Maagizo hayo yametolewa siku ya tarehe 29 Julai 2021 wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kukagua miradi ya barabara kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2020/2021.

Kamati hiyo imetembelea barabara takribani 11 zilizopo kwenye mpango wa ujenzi na ukarabati kwa mwaka wa fedha 2020/2021. Kwa kiasi kikubwa kamati hiyo imeridhihswa na ukamilikaji wa barabara hizo lakini imeigiaza Ofisi ya TARURA kuhakikisha ujenzi wa barabara hizo unakamilika ndani ya mikataba iliyowekwa. Kwa upande mwingine kamati hiyo imeridhishwa na barabara zilizotengenezwa kwa kiwango cha Moram, kwani barabara zimeonekana kuimarika na kudumu kwa muda mrefu.

Mhe. Gabriel Zakaria amemuagiza Kaimu Meneja TARURA Wilaya ya Busega Mhandisi Pascal Masali kwamba Wakandarasi wote wanaojenga barabara zilizopo Wilaya ya Busega kufika Ofisini kwake kwaajili ya mazungumzo.

Kwa upande wake Kaimu Meneja TARURA Wilaya ya Busega Mhandisi Paschal Masali amesema baadhi ya wakandarasi wamekuwa wakifanya kazi kwa kasi ndogo na hii inasababishwa na kutokuwa mitambo ya kutosha. Mhandisi Masalia, amesema barabara nyingi zilizopo kwenye matengenezo katika kipindi cha mwaka wa fedha 2020/2021 zimekamilika lakini chache miongoni mwa hizo ujenzi wake unaendelea.

Pamoja na mambo mengineyo, Mhe. Gabriel Zakaria amewataka wananchi wa Wilaya ya Busega kutumia vyema miundombinu ya barabara ili ziweze kutumika kwa muda mrefu. Katika ziara hiyo kamati ya Ulinzi na Usalama imeweza kushuhudia uharibifu wa miundombinu ya barabara, kwani wananchi katika baadhi ya maeneo wamekuwa wakitupa taka katika hifadhi za barabara.

TARURA Wilaya ya Busega imeweza kujenga na kukarabati barabara zenye urefu wa jumla ya kilomita 98.89 kwa gharama ya TZS Milioni 621.7 kwa mwaka wa fedha 2020/2021 na mpaka sasa Wakandarasi wamelipwa TZS Milioni 327. Huku mwaka wa fedha 2021/2022 TARURA inatarajia kujenga na kukarabati barabara zipatazo 18 kwa thamani ya zaidi ya TZS Bilioni 2.2, kati ya barabara hizo, 6 ni mpya ambazo zitagharimu TZS Bilioni 1 na zitajengwa kwa kiwango cha Moram kutoka vyanzo mbalimbali vya fedha.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III ULIOFANYIKA TAREHE 05.10.2024 October 05, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba Wilaya ya Busega_2020 November 23, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili December 01, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • TIJA YA KUONGEZA MAPATO; BUSEGA YATEMBELEA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA KUJIFUNZA MBINU

    April 18, 2024
  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa