• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira Busega Yatembelea Viwanda vya Kuchambua Pamba na Uzalishaji wa Mafuta

Posted on: August 3rd, 2021

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira Halmashauri ya Wilaya ya Busega imetembelea Viwanda vidogo vya Uzalishaji wa mafuta ya kupikia na uchambuaji wa Pamba. Ziara hiyo imefanyika siku ya tarehe 02 Agosti 2021 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Charles Lukale.

Wajumbe wa kamati hiyo walifika katika kiwanda cha uzalishaji mafuta kijulikanacho kama LAMADI OIL na kujionea njia zinazotumika kuzalisha mafuta ya kupipikia yanayotokana na zao la Pamba. Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Charles Lukale amesema kamati hiyo imetembelea Viwanda hivyo ikiwa ni sehemu ya kujifunza ili kupata ujuzi ambao unaweza kuisaidia Halmashauri kuwekeza katika Viwanda.

Mkurugenzi wa Kiwanda LAMADI OIL, Bw. Makubi Joseph amesema licha ya kiwanda hicho kuzalisha lita takribani 1,890 kwa siku bado kuna uhaba wa upatikanaji wa Pamba ya kutosha ili kufanya uzalishaji kuwa mkubwa zaidi. Aidha, Bw. Joseph amesema uzalishaji mdogo pia unachangiwa kwa kutokuwa na mtaji wa kutosha, kwani imekuwa ni changamoto kubwa wanapoenda kuomba mikopo katika baadhi ya taasisi za fedha.

Kamati hiyo pia imetembelea kiwanda cha kuchambua Pamba na kukamua Mafuta kijulikanacho kama CHESANO COTTON LIMITED na kuridhishwa na hali ya Uzalishaji wake ambapo kwa siku kina uwezo wa kuzalisha Pamba nyuzi zaidi ya tani 26,000. Mkurugenzi wa kiwanda hicho Bw. Peter Bahinya anasema uzalishaji wa kiwanda unategemea zaidi upatikanaji wa Pamba, lakini ana imani kubwa kwamba msimu wa uzalishaji wa Pamba ujao kutakuwa na upatikanaji mkubwa wa Pamba.

Kwa kiasi kikubwa wajumbe wa kamati hiyo wameridhishwa na Uzalishaji wa Mafuta na uchambuaji wa Pamba, ambao unafanyika Wilayani Busega, kwani kupitia Viwanda hivyo kumekuwa na fursa kwa wananchi wa Busega, lakini imewataka wawekezaji wengine kuja kuwekeza Busega. Aidha, wameitaka Ofisi ya Mkurugrnzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega kufuatilia kwa ukaribu kodi itokanayo kna Viwanda hivyo na vingine ili kuongeza ukusanyaji wa mapato.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III ULIOFANYIKA TAREHE 05.10.2024 October 05, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba Wilaya ya Busega_2020 November 23, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili December 01, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • TIJA YA KUONGEZA MAPATO; BUSEGA YATEMBELEA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA KUJIFUNZA MBINU

    April 18, 2024
  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa