• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI BUSEGA LAITAKA RUWASA KUJIRIDHISHA NA TAKWIMU ZA UPATIKANAJI WA HUDUMA YA MAJI

Posted on: November 18th, 2022

Madiwani Halamshauri ya Wilaya ya Busega wameitaka Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kujiridhisha na takwimu za upatikanaji wa huduma ya maji wilayani Busega. Hayo yamesemwa wakati wa baraza la madiwani robo ya kwanza mwaka wa fedha 2022/2023, lililofanyika tarehe 16/11/2022 katika ukumbi wa Silsos.  

Mwakikilishi wa RUWASA, Mhandisi Safiel Senzota alieleza baraza hilo hali ya upatikanaji wa huduma za maji katika Wilaya ya Busega, taarifa ambayo ilionekana kuleta ukakasi kwa baddhi ya madiwani. “Mpaka sasa RUWASA inahudumia wateja wapatao 200,024 ambapo ni zaidi ya asilimia 71 ya wakazi wote, hivyo RUWASA itaendelea kuhakikisha huduma ya maji inapatikana kwa wananchi katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Busega, ikiwemo upanuzi wa mradi wa maji wa Kiloleli, utekelezaji wa mradi wa maji Nyaluhande na utekelezaji wa mradi wa maji Kabita-awamu ya kwanza”, aliongeza Mhandisi Senzota.

“Tunaomba RUWASA wajiridhishe na takwimu zao kabla ya kuleta taarifa kwenye baraza, na ikiwezekana taarifa hizi ziwasilishwe katika vikao vya kamati za waheshimiwa madiwani ili kuzipitisha kabla hazijaletwa kwenye baraza”, alisema diwani wa Kata ya Igalukilo, Mhe. Charles Lukale. Nae mwenyekiti wa baraza hilo Mhe. Sundi Muniwe, amesema kwamba huduma za maji zimeonekana zikiendelea kuwasumbua wananchi  baadhi ya maeneo ndio maana waheshimiwa madiwani wana wasiwasi kwakua wao ndio waliopo karibu na wananchi hao.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Busega Mhe. Gabriel Zakaria amezitaka taasisi za RUWASA na TARURA kuhakikisha wanawashirikisha wameshimiwa madiwani katika utekelezaji wa miradi ili wafahamu miradi hiyo. Aidha, Zakaria amezitaka taasisi hizo kuhakikisha zinawapitisha waheshimiwa madiwani kwenye miradi inayoendelea na iliyokamilika ili wajionee uhalisia wa utekelezaji wa miradi hiyo. “Naagiza RUWASA na TARURA mpange ziara ambazo mtawapeleka waheshimiwa madiwani kujionea kinachoendelea katika miradi mnayotekeleza, ili wajiridhishe na kinachoendelea”, aliongeza Zakaria.

Hali ya upatikanaji wa maji imeboreka ukilinganisha na mitatu nyuma, ambapo Wilaya ya Busega ilikuwa na hali isiyoridhisha ya upatakanaji wa maji, lakini RUWASA na Mamlaka ya maji Busega (BUSEWASA) wamekuwa wakifanya jitihada ambazo kwa mujibu wa taarifa ya RUWASA ambapo inaonesha upatikanaji wa maji ni zaidi ya asimilia 71 , ambapo mahitaji halisi ni zaidi ya lita milioni 7 kwa siku, huku kwasasa upatikanaji ni zaidi ya lita 5.

MWISHO

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 Halmashauri ya Wilaya ya Busega December 15, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Pili Mwaka 2022_Wilaya ya Busega January 04, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne Mwaka 2022_Wilaya ya Busega January 29, 2023
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI BUSEGA LAITAKA RUWASA KUJIRIDHISHA NA TAKWIMU ZA UPATIKANAJI WA HUDUMA YA MAJI

    November 18, 2022
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa