• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

JINSI YA KUJIUNGA NA HUDUMA YA BIMA YA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF Iliyoboreshwa)

HATUA MUHIMU ZA KUZINGATIA ILI KUJIUNGA NA BIMA YA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF Iliyoboreshwa):

  • Mkuu wa kaya fika na familia yako katika sehemu iliyoandaliwa kwa ajili ya uandikishaji wa wanachama.
  • Lipia gharama ya TZS 30,000 kujiunga na CHF iliyoboreshwa, hakikisha unapatiwa stakabadhi ya malipo ya mchango wa CHF.
  • Fuata maelekezo mengine utakayopewa na Afisa Uandikishaji.

Hakikisha kila mwanakaya amepatiwa kitambulisho cha uanachama.

KUMBUKA:

  • Kitambulisho chako kitaanza kutumika baada ya mwezi mmoja tangu kuandikishwa.
  • Kumbuka kwenda na kitambulisho chako pindi unapokwenda kwenye kituo cha kutolea huduma (Zahanati, Kituo cha Afya au Hospitali ya Wilaya/Mkoa).
  • Kumbuka kuhuisha/kufufua uanachama wako miezi miwili kabla ya kuisha muda wa uanachama.
  • Uanachama huhuishwa kila mwaka (mara moja kwa mwaka) kwa kulipia gharama ya uanachama.

MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF ILIYOBORESHWA) NI NINI?

Ni mpango muhimu wa hiari ulioanzishwa kwa Sheria Na. 1 ya mwaka 2001 (Sura ya 409 ya Sheria za Tanzania Toleo la 2002) wa kaya, kikundi au familia au mtu binafsi kuchangia gharama za matibabu kabla ya kuugua.

KAYA/FAMILIA NI NINI KWA MUJIBU WA CHF ILIYOBORESHWA?

Baba, mama n watoto/wategemezi ambao jumla yao ni watu sita (6). Kundi la watu sita (6) katika taasisi kama vile shule (wanafunzi), Ushirika (wanaushirika), ama Vikundi vya ujasiria mali (SACCOS, VICOBA, n.k). Uandikishaji wa Wanachama sita (6) kwa gharama ya TZS 30,000 kwa matumizi ya mwaka mzima.

FAIDA ZA MFUKO WA AFYA YA JAMII:

  • Mwanachama atanufaika na huduma zote za Afya ya msingi za kinga na tiba zitolewazo katika zahanati, kituo cha Afya na hospitali ya wilaya, na hospitali ya Mkoa kama vile;
  • Huduma ya wagonjwa wa kutwa na kulazwa kwa mujibu wa mwongozo wa Wizara ya Afya.
  • Afya ya mama na mtoto.
  • Vipimo vya maabara.
  • Huduma ya upasuaji mdogo.
  • Mwanachama anapata huduma bora za Afya kwa gharama nafuu.
  • Mwanachama anapata huduma bora ya Afya kwa kipindi cha mwaka mzima.
  • Serikali inachangia kiasi sawa na kile kilichochangwa na wanachama tele kwa tele) katika wilaya husika ili kuboresha huduma za Afya.

USHIRIKI WA MWANACHAMA KATIKA KUBORESHA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA:

Mwanachama atashiriki katika kuboresha huduma za Afya kupitia mwakilishi wa jamii katika bodi ya Afya ya Wilaya na kamati za uendeshaji na usimamizi wa Kituo cha Afya na Zahanati.

Mwanachama atawasilisha mawazo/kero zake kwenye serikali ya kijiji, na kupelekwa kwenye kamati ya CHF ya kata na hatimaye kwenye bodi ya CHF ya wilaya ambayo itayajadili na kuyatolea maamuzi.

Pia, mwanachama ataweza kutoa maoni yake kuhusu maboresho ya CHF na huduma za Afya kupitia mkutano wa mwaka wa kijiji wa wanachama wa CHF.

Kwa Maelezo zaidi tembelea Ofisi ya Mratibu wa CHF Wilaya au Wasiliana na Ofisi ya Kijiji/Mtaa iliyokaribu nawe.

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza 2023 Halmashauri ya Wilaya ya Busega December 15, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Pili Mwaka 2022_Wilaya ya Busega January 04, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne Mwaka 2022_Wilaya ya Busega January 29, 2023
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI BUSEGA LAITAKA RUWASA KUJIRIDHISHA NA TAKWIMU ZA UPATIKANAJI WA HUDUMA YA MAJI

    November 18, 2022
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa