• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
BUSEGA DISTRICT COUNCIL
BUSEGA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Busega

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
      • Dhamira
      • Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Utawala na Utumishi
        • Mipango, Takwimu na Ushirika
        • Elimu Msingi
        • Afya
        • Maendeleo ya Jamii na ustawi wa jamii na Vijana
        • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Maji
        • Elimu Sekondari
        • Ardhi na Maliasili
        • Fedha na Biashara
        • Ujenzi na Zimamoto
        • Usafi na Mazingira
      • Vitengo
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Sheria
        • Kitengo cha Ugavi
        • Uchaguzi
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kitengo cha Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Afya
      • Afya
    • Elimu
    • Maji
      • Kilimo
        • Kilimo
    • Kilimo
      • Kilimo
    • Mifugo
    • uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Utawala na Mipango
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Afya, Elimu na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya W\heshimiwa Madiwani
        • Kuonana na Mwenyekitiwa Halmashauri
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali za Maombi
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Maendeleo
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Vikundi 17 Wilayani Busega vyanufaika na mikopo ya asilimia 10 yenye thamani ya TZS milioni 132.54

Posted on: February 18th, 2022

Vikundi 17 vya wajasiriamali Wilayani Busega vimenufaika na mikopo ya asimilia 10 itokanayo na mapato ya ndani, ambapo kiasi cha TZS milioni 132.54 kimetolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Busega kwa makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Kati ya fedha hizo TZS milioni 86.325 kimetokana na mapato ya ndani ya bajeti ya mwaka wa fedha 2021/2022 ambayo sawa na asilimia 49.9 na kiasi cha TZS milioni 46.215 kimetokana na marejesho ya mikopo kutoka kwa wafaidika.    

Akizungumza wakati alipokutana na vikundi hivyo, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Busega, Veronica Sayore amesema mikopo hiyo yenye masharti nafuu imetolewa ikiwa ni utekelezaji wa sheria ya utoaji mikopo kwa wajasiriamali wa makundi ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Sayore amevitaka vikundi hivyo kuhakikisha wanazielekeza fedha hizo katika malengo yao waliyojiwekea kwa kila kikundi na sio vinginevyo. “Matumizi ya fedha hizi za mikopo zitumike katika malengo yale mliojiwekea ili kuhakikisha mnarejesha kwa wakati na sio vinginevyo” aliongeza Sayore.

Kwa upande mwingine Sayore amesema kumekuwa na vikundi ambavyo vinashindwa kurudisha fedha za mikopo kwa wakati hivyo hukwamisha shughuli za ukopeshaji kwa wahitaji wengine. “Tunaomba mrudishe mikopo hiyo kwa wakati, ili kusaidia wengine wenye uhitaji wa mikopo hiyo, wale ambao hawarudishi kwa wakati mnakwamisha, sitarajii kuliona hilo kutoka kwenu”, alisema Sayore.

Kwa upande wake Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Busega, Dismas Ijagala amewaasa wanufaika kutumia mikopo hiyo kwa usahihi ili kuepusha sintofahamu wakati wa urejeshwaji wa mikopo hiyo. “Vipo baadhi ya vikundi ambavyo vimekuwa na upotevu wa fedha wanazokopeshwa, hii inasababishwa na kutokuwa na matumizi sahihi ya fedha hizo, alisema Ijagala.

Aidha, Sayore amesema hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya vikundi ambavyo vitaonesha kutorejesha fedha hizo kwa wakati. Halikadhalika, Sayore amesema kupitia mikopo hii ya asilimia 10 ya wajasiriamali itasaidia vikundi hivyo kuongeza mtaji wa shughuli zao za kiuchumi.

Pamoja na hayo, Sayore amevitaka vikundi hivyo kuimarisha umoja ili vikundi hivyo vidumu katika misingi ya kujenga uchumi wa mtu mmojammoja. Kwa upande wa wafaidika wameshukuru kwa mikopo hiyo na kuahidi kuitumia mikopo hiyo kulingana na malengo waliyojiwekea. Halmashauri ya Wilaya ya Busega imetoa kiasi cha fedha hiyo ikiwa ni mpaka kufikia robo ya pili ya mwaka wa fedha 2021/2022 ambapo vikundi 12 vya wanawake, vimepata kiasi cha TZS milioni 63.54, vikundi 4 vya vijana TZS milioni 57 na kikundi 1 cha watu wenye ulemavu TZS milioni 12.  

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI III ULIOFANYIKA TAREHE 05.10.2024 October 05, 2024
  • Tangazo la Nafasi za Kazi October 07, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba Wilaya ya Busega_2020 November 23, 2020
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili December 01, 2020
  • Onyesha zote

Habari Mpya

  • TIJA YA KUONGEZA MAPATO; BUSEGA YATEMBELEA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILEMELA KUJIFUNZA MBINU

    April 18, 2024
  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Simiyu Yapongeza Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Busega

    February 24, 2023
  • Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Busega Wapitisha Mapendekezo ya Mpango wa Bajeti Mwaka wa Fedha 2023/2024

    February 14, 2023
  • Mgogoro wa Shamba la Kijiji cha Nyamikoma A uliodumu zaidi ya miaka 15 Wamalizika

    January 11, 2023
  • Onyesha zote

Video za Shughuli za Kiofisi na kitaifa

Stili Picha Zaidi

Kiunganishi cha Haraka

  • Kupata Salary Slip - Salary Slip Portal
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Ajira Portal
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wizara ya Nishati
  • Wizara ya Maji
  • Mamlaka ya Chakula na Dawa -TFDA
  • Tovuti ya TRA

Tovuti Mashuhuli

  • Tovuti kuu ya Serikari
  • Tovuti ya menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa (NBS)
  • Tovuti ya Ikulu
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria
  • Kanzidata, Masuala ya Uchumi na Jamii Tanzania
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)
  • Sekretarieti ya Ajira Tanzania
  • Tovuti ya Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya TCRA
  • Tovuti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  • Tovuti ya Benki Kuu ya Tanzania
  • Tovuti ya Uhamiaji
  • Tovuti ya Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini -RITA
  • Tovuti ya Brela
  • Tovuti ya NIDA
  • Tovuti ya Wakala ya Serikali Mtandao- eGA
  • Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji, Halmashauri ya Wilaya ya Busega

    Sanduku la Posta: 157 BUSEGA

    Simu ya Mezani: +255 282 981 193

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: info@busegadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki @2019. Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Haki zote zimehifadhiwa